2 Fal 24:1
2 Fal 24:1 SUV
Katika siku zake akakwea Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na Yehoyakimu akawa mtumishi wake muda wa miaka mitatu; kisha, akageuka, akamwasi.
Katika siku zake akakwea Nebukadreza, mfalme wa Babeli, na Yehoyakimu akawa mtumishi wake muda wa miaka mitatu; kisha, akageuka, akamwasi.