2 Nya 15:1-2
2 Nya 15:1-2 SUV
Ndipo roho ya Mungu ikamjia Azaria mwana wa Odedi; naye akatoka ili amlaki Asa, akamwambia, Nisikieni, Ee Asa, na Yuda wote na Benyamini; BWANA yu pamoja nanyi, mkiwa pamoja naye; nanyi mkimtafuta ataonekana kwenu; lakini mkimwacha atawaacha ninyi.