Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Tim 1:13-14

1 Tim 1:13-14 SUV

ingawa hapo kwanza nalikuwa mtukanaji, mwenye kuudhi watu, mwenye jeuri, lakini nalipata rehema kwa kuwa nalitenda hivyo kwa ujinga, na kwa kutokuwa na imani. Na neema ya Bwana wetu ilizidi sana, pamoja na imani na pendo lililo katika Kristo Yesu.

Soma 1 Tim 1