Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 23:15-16

1 Sam 23:15-16 SUV

Daudi akaona ya kwamba Sauli ametoka nje ili kutafuta roho yake; naye Daudi akawako katika nyika ya Zifu, huko Horeshi. Ndipo Yonathani, mwana wa Sauli, akainuka akamwendea Daudi huko Horeshi, akamtia nguvu mkono wake katika Mungu.

Soma 1 Sam 23