1 Sam 15:30-31
1 Sam 15:30-31 SUV
Akasema, Nimekosa; lakini uniheshimu sasa, nakuomba, mbele ya wazee wa watu wangu, na mbele ya Israeli, rudi pamoja nami, nimwabudu BWANA, Mungu wako. Basi Samweli akarudi na kuandamana na Sauli; naye Sauli akamwabudu BWANA.

