Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 15:30-31

1 Samweli 15:30-31 SRUV

Akasema, Nimekosa; lakini uniheshimu sasa, nakuomba, mbele ya wazee wa watu wangu, na mbele ya Israeli, rudi pamoja nami, nimwabudu BWANA, Mungu wako. Basi Samweli akarudi na kuandamana na Sauli; naye Sauli akamwabudu BWANA.