Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 6:17-18

Warumi 6:17-18 NEN

Lakini Mungu apewe shukrani kwa kuwa ninyi ambao kwanza mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa. Nanyi baada ya kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.

Video ya Warumi 6:17-18