Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 4:16

Warumi 4:16 NENO

Kwa hiyo, ahadi huja kupitia kwa imani, ili iwe ni kwa neema, na ihakikishiwe wazao wote wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote.

Video ya Warumi 4:16