Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 29:24-27

Mithali 29:24-27 NENO

Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia. Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye BWANA atakuwa salama. Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa BWANA. Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.