Mithali 28:3-5
Mithali 28:3-5 NENO
Mtawala anayewadhulumu maskini, ni kama mvua ya dhoruba inayoharibu mazao yote. Wale wanaoacha sheria huwasifu waovu, bali wale wanaotii sheria huwapinga. Wapotovu hawaelewi haki, bali wale wanaomtafuta BWANA wanaielewa kikamilifu.