Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 24:1-4

Mithali 24:1-4 NENO

Usiwaonee wivu watu waovu, usitamani ushirika nao; kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri, nayo midomo yao husema kuhusu kuleta madhara. Kwa hekima nyumba hujengwa, nayo kupitia ufahamu huimarishwa; kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.