Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba, kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno ya kushawishi kutenda ubaya, aliyemwacha mwenzi wa ujana wake na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu. Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo na mapito yake kwenye roho za waliokufa. Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi, au kufikia mapito ya uzima.
Soma Mithali 2
Sikiliza Mithali 2
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Mithali 2:16-19
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video