Mithali 18:4-5
Mithali 18:4-5 NENO
Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji, bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika. Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu, au kumnyima haki asiye na hatia.
Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji, bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika. Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu, au kumnyima haki asiye na hatia.