Mithali 14:20-21
Mithali 14:20-21 NENO
Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana rafiki wengi. Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi, bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.
Maskini huepukwa hata na majirani zao, bali matajiri wana rafiki wengi. Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi, bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.