Mithali 13:9-10
Mithali 13:9-10 NENO
Nuru ya mwenye haki hungʼaa sana, bali taa ya mwovu itazimwa. Kiburi huzalisha magomvi tu, bali hekima hupatikana kwa wale wanaozingatia ushauri.
Nuru ya mwenye haki hungʼaa sana, bali taa ya mwovu itazimwa. Kiburi huzalisha magomvi tu, bali hekima hupatikana kwa wale wanaozingatia ushauri.