Mithali 10:13-14
Mithali 10:13-14 NENO
Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua, lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake asiye na ufahamu. Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.
Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua, lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake asiye na ufahamu. Wenye hekima huhifadhi maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.