Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 4:4-6

Wafilipi 4:4-6 NENO

Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini! Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu. Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wafilipi 4:4-6