Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 13:1-2

Hesabu 13:1-2 NEN

BWANA akamwambia Musa, “Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ninayowapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mwanaume aliye mmoja wa viongozi wao.”