Marko 13:32, 33, 34, 35, 36
Marko 13:32 NENO
“Kwa habari ya siku ile na saa hakuna yeyote ajuaye, hata malaika walio mbinguni wala Mwana, ila Baba peke yake.
Marko 13:33 NENO
Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.
Marko 13:34 NENO
Ni kama mtu anayesafiri. Anaiacha nyumba yake na kuwaachia watumishi wake kuiangalia, kila mtu na kazi yake, kisha akamwamuru yule bawabu aliye mlangoni akeshe.
Marko 13:35 NENO
“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko