Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 9:37-38

Mathayo 9:37-38 NENO

Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili atume watendakazi katika shamba lake la mavuno.”