Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:16

Mathayo 6:16 NENO

“Mnapofunga, msiwe wenye huzuni kama wafanyavyo wanafiki. Maana wao hukunja nyuso zao ili kuwaonesha wengine kwamba wamefunga. Amin, amin nawaambia wao wamekwisha kupokea thawabu yao kamilifu.