Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:19

Mathayo 27:19 NEN

Pilato akiwa ameketi kwenye kiti cha hukumu, mkewe akampelekea ujumbe huu: “Usiwe na jambo lolote juu ya mtu huyu asiye na hatia, kwa kuwa leo nimeteseka sana katika ndoto kwa sababu yake.”