Luka 13:20-21
Luka 13:20-21 NENO
Yesu akauliza tena, “Nitaufananisha ufalme wa Mungu na nini? Unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga hadi wote ukaumuka.”
Yesu akauliza tena, “Nitaufananisha ufalme wa Mungu na nini? Unafanana na chachu ambayo mwanamke aliichukua akaichanganya katika kiasi kikubwa cha unga hadi wote ukaumuka.”