Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 1:1

Ezekieli 1:1 NENO

Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, siku ya tano ya mwezi, nilipokuwa miongoni mwa waliokuwa uhamishoni kando ya Mto Kebari, mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu.