Kutoka 6:8-9
Kutoka 6:8-9 NENO
Nami nitawaleta hadi nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaka na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi BWANA.’ ” Musa akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya kuvunjika moyo na kazi yao ngumu.