1
Zakaria 4:6
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Akajibu akiniambia kwamba: Hili ndilo neno la Bwana lililomjia Zerubabeli la kwamba: Haitafanyika kwa vikosi wala kwa nguvu, ila kwa Roho yangu; ndivyo, asemavyo Bwana Mwenye vikosi.
Linganisha
Chunguza Zakaria 4:6
2
Zakaria 4:10
Kwani walioibeua siku ya mambo madogo ndio watakaofurahi wakiiona timazi mkononi mwa Zerubabeli; hizi taa saba ndio macho ya Bwana, ndiyo yanayotembea katika nchi hii nzima.
Chunguza Zakaria 4:10
3
Zakaria 4:9
Mikono yake Zerubabeli imeweka msingi wa Nyumba hii, nayo mikono yake ndiyo itakayoimaliza. Ndipo, utakapojua, ya kuwa Bwana Mwenye vikosi amenituma kwenu.
Chunguza Zakaria 4:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video