1
Zakaria 3:4
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Kisha huyu akasema na kuwaambia waliosimama mbele yake kwamba: Mvueni hizi nguo chafu! Akamwambia: Tazama, manza, ulizozikora, nimeziondoa kwako, nikakuvika nguo za sikukuu.
Linganisha
Chunguza Zakaria 3:4
2
Zakaria 3:7
Hivi ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema: Kama utakwenda katika njia zangu na kuutumikia utumishi wangu, ndipo, wewe utakapoitunza Nyumba yangu na kuzilinda nyua zangu, kisha nitakupatia njia ya kufika kwangu katikati yao hawa wanaosimama hapa.
Chunguza Zakaria 3:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video