Zekaria 4:9
Zekaria 4:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mikono yake Zerubabeli imeiweka misingi ya nyumba hii, na mikono yake ndiyo itakayoimaliza; nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwenu.
Shirikisha
Soma Zekaria 4Zekaria 4:9 Biblia Habari Njema (BHN)
“Zerubabeli ameuweka msingi wa hekalu naye pia atalikamilisha. Hayo yatakapotukia, watu wangu watajua kwamba mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi ndimi niliyekutuma kwao.
Shirikisha
Soma Zekaria 4Zekaria 4:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mikono yake Zerubabeli imeiweka misingi ya nyumba hii, na mikono yake ndiyo itakayoimaliza; nawe utajua ya kuwa BWANA wa majeshi amenituma kwenu.
Shirikisha
Soma Zekaria 4