1
Mateo 23:11
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Lakini kwenu aliye mkubwa na awatumikie ninyi!
Linganisha
Chunguza Mateo 23:11
2
Mateo 23:12
Kwani atakayejikweza mwenyewe atanyenyekezwa; naye atakayejinyenyekeza mwenyewe atakwezwa.
Chunguza Mateo 23:12
3
Mateo 23:23
Yatawapata ninyi waandishi na Mafariseo mlio wajanja, kwani fungu la kumi mnalitolea hata mchicha na nyanya na pilipili, lakini yaliyo magumu katika Maonyo mmeyaacha, yale ya hukumu na ya huruma na ya mategemeo. Haya yawapasa kuyashika pasipo kuyaacha yale.
Chunguza Mateo 23:23
4
Mateo 23:25
Yatawapata ninyi waandishi na Mafariseo mlio wajanja, kwani vinyweo na vyano mnaviosha nje, lakini ndani vimejaa mapokonyo na mapujufu.
Chunguza Mateo 23:25
5
Mateo 23:37
Yerusalemu, Yerusalemu, unawaua wafumbuaji, ukawapiga mawe walitumwa kwako! Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako, kama kuku anavyovikusanya vifaranga vyake mabawani! Lakini hamkutaka!
Chunguza Mateo 23:37
6
Mateo 23:28
Vivyo hivyo nanyi nje mnaonekana kwa watu kuwa waongofu, lakini ndani yenu imejaa ujanja na upotovu.
Chunguza Mateo 23:28
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video