1
Malaki 2:16
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Kwani Bwana Mungu wa Isiraeli anasema: Ninachukia kuachana, maana ni kuyafunika mavazi yao kwa ukorofi; ndivyo, anavyosema Bwana Mwenye vikosi; kwa hiyo jiangalieni rohoni mwenu, msidanganye!
Linganisha
Chunguza Malaki 2:16
2
Malaki 2:15
Hakuna mtu hata mmoja anayeweza kufanya hayo akiwa analo bado sao la kiroho. Naye yule mmoja alifanya nini? Alitafuta mzao wa Mungu! Kwa hiyo jiangalieni rohoni mwenu, msiwadanganye wake zenu wa ujana wenu!
Chunguza Malaki 2:15
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video