1
Malaki 1:6
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Mwana humheshimu baba yake, hata mtumwa humheshimu bwana wake; kama mimi na Baba yenu, heshima yangu iko wapi? Ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyowauliza ninyi watambikaji mnaolibeza Jina langu, kisha mnasema: Jina lako tumelibeza kwa nini?
Linganisha
Chunguza Malaki 1:6
2
Malaki 1:11
Kwani kutoka maawioni kwa jua mpaka machweoni kwake Jina langu ni kuu kwa wamizimu, tena kila mahali Jina langu linatolewa mavukizo na vipaji vya tambiko vitakatavyo, kwani Jina langu ni kuu kwa wamizimu; ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyosema.
Chunguza Malaki 1:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video