Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Malaki 1:6

Malaki 1:6 SRB37

Mwana humheshimu baba yake, hata mtumwa humheshimu bwana wake; kama mimi na Baba yenu, heshima yangu iko wapi? Ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyowauliza ninyi watambikaji mnaolibeza Jina langu, kisha mnasema: Jina lako tumelibeza kwa nini?

Soma Malaki 1