Malaki 1:6
Malaki 1:6 SRB37
Mwana humheshimu baba yake, hata mtumwa humheshimu bwana wake; kama mimi na Baba yenu, heshima yangu iko wapi? Ndivyo, Bwana Mwenye vikosi anavyowauliza ninyi watambikaji mnaolibeza Jina langu, kisha mnasema: Jina lako tumelibeza kwa nini?