1
Warumi 9:16
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Bassi, kama ni hivyo, si katika uwezo wa yule atakae, wala wa yule apigae mbio, bali wa yule arehemuye, yaani Mungu.
Linganisha
Chunguza Warumi 9:16
2
Warumi 9:15
Maana alimwambia Musa, Nitamrehemu yeye nimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiae.
Chunguza Warumi 9:15
3
Warumi 9:20
La! si hivyo, ee bin-Adamu; wewe u nani umjibuye Mungu? Je! kitu kilichoumbwa kimwambie yeye aliyekiumba, Ya nini nkanifanza hivi?
Chunguza Warumi 9:20
4
Warumi 9:18
Bassi, kama ni hivyo, atakae (kumrehemu) humrehemu, na atakae kumfanya mgumu humfanya mgumu.
Chunguza Warumi 9:18
5
Warumi 9:21
An mfinyangi je! bana nguvu juu ya udongo, kwa fungu moja la udongo kufanya chombo kimoja, kiwe cha heshima, na kimoja kiwe hakina heshima?
Chunguza Warumi 9:21
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video