1
Warumi 10:9
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
kwa sababu, ukimkiri Kristo Yesu kwa kinywa chako, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua, utaokoka
Linganisha
Chunguza Warumi 10:9
2
Warumi 10:10
kwa maana kwa moyo watu huamini hatta kupata haki, na kwa kinywa hukiri hatta kupata wokofu.
Chunguza Warumi 10:10
3
Warumi 10:17
Bassi imani, chanzo chake ni kusikla; na kusikia kunakuja kwa neno la Mungu.
Chunguza Warumi 10:17
4
Warumi 10:11-13
Kwa maana andiko lanena, Killa amwaminiye hatatahayarika. Kwa maana hapana tofanti ya Myahudi na Myunani; maana yeye yule ni Bwana wa wote, mwenye utajiri wa kufaa watu wote wamwitiao; kwa kuwa killa atakaemwita Bwana kwa Jina lake ataokoka.
Chunguza Warumi 10:11-13
5
Warumi 10:15
Tena wakhubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri namna gani miguu yao wakhubirio khabari ya mema.
Chunguza Warumi 10:15
6
Warumi 10:14
Bassi wamwiteje yeye wasiyemwamini? Tena wamwaminije yeye wasiyemsikia? Tena wamsikieje pasipo mkhubiri?
Chunguza Warumi 10:14
7
Warumi 10:4
Kwa maana Kristo ni mwisho wa sharia, illi killa aaminiye apate haki.
Chunguza Warumi 10:4
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video