1
Warumi 13:14
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Bali mvaeni Bwana Yesu, wala msitafakari mahitaji ya mwili, nisije mkawasha tamaa zake.
Linganisha
Chunguza Warumi 13:14
2
Warumi 13:8
Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendae mtu mwenzake ameitimiza sharia.
Chunguza Warumi 13:8
3
Warumi 13:1
KILLA nafsi itumikie mamlaka makuu; kwa maana hapana mamlaka yasiyotoka kwa Mungu: na mamlaka yaliyopo yameamriwa na Mungu.
Chunguza Warumi 13:1
4
Warumi 13:12
Usiku unakwisha, mchana umekaribia; bassi tuyavue matendo ya giza, tuzivae silaha za nuru.
Chunguza Warumi 13:12
5
Warumi 13:10
Peudo halimfanyizii jirani neno baya; bassi pendo ndio utimilifu wa sharia.
Chunguza Warumi 13:10
6
Warumi 13:7
Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru: astahiliye khofu, khofu; astahiliye heshima, heshima.
Chunguza Warumi 13:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video