Waroma 13:8
Waroma 13:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Msiwe na deni kwa mtu yeyote, isipokuwa tu deni la kupendana. Ampendaye jirani yake ameitekeleza sheria.
Shirikisha
Soma Waroma 13Waroma 13:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Msiwiwe na mtu chochote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria.
Shirikisha
Soma Waroma 13