1
1 Wakorintho 10:13
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Jaribu halikuwapata ninyi, illa ya kadiri ya kibinadamu; na Mungu yu amini; hatawaacha mjaribiwe kupita mwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, illi mweze kustahimili.
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 10:13
2
1 Wakorintho 10:31
Bassi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lo lote, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 10:31
3
1 Wakorintho 10:12
Bassi anaejidhani amesimama aangalie asianguke.
Chunguza 1 Wakorintho 10:12
4
1 Wakorintho 10:23
Vitu vyote ni halali kwangu; bali si vitu vyote vifaavyo. Vitu vyote ni halali kwangu; hali si vitu vyote vijengavyo.
Chunguza 1 Wakorintho 10:23
5
1 Wakorintho 10:24
Mtu asitafute kujifaidia nafsi yake, bali kumfaidia mwenzake.
Chunguza 1 Wakorintho 10:24
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video