1
Wafilipi 4:6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Msiwe na wasiwasi juu ya kitu chochote, ila kwa kila hali, mwombeni Mungu katika sala juu ya mahitaji yenu, kwa shukrani.
Linganisha
Chunguza Wafilipi 4:6
2
Wafilipi 4:7
Nayo amani ya Mungu ipitayo akili zote za watu italinda salama mioyo na akili zenu katika kuungana na Kristo Yesu.
Chunguza Wafilipi 4:7
3
Wafilipi 4:8
Hatimaye, ndugu zangu, zingatieni mambo mema na yanayostahili kusifiwa; mambo ya kweli na bora; mambo ya haki, safi, ya kupendeza na ya heshima.
Chunguza Wafilipi 4:8
4
Wafilipi 4:13
Naweza kuikabili kila hali kwani Kristo hunipa nguvu.
Chunguza Wafilipi 4:13
5
Wafilipi 4:4
Basi, furahini daima katika kuungana na Bwana! Nasema tena: Furahini!
Chunguza Wafilipi 4:4
6
Wafilipi 4:19
Basi, Mungu wangu, kwa utajiri wake mkuu kwa njia ya Kristo, atawapeni mahitaji yenu yote.
Chunguza Wafilipi 4:19
7
Wafilipi 4:9
Tekelezeni yale mliyojifunza na kupokea kutoka kwangu; mambo mliyosikia nimesema na kuona nimeyatenda. Naye Mungu anayetujalia amani atakuwa pamoja nanyi.
Chunguza Wafilipi 4:9
8
Wafilipi 4:5
Upole wenu ujulikane kwa watu wote. Bwana yu karibu.
Chunguza Wafilipi 4:5
9
Wafilipi 4:12
Najua hali ya kutokuwa na vitu na hali ya kuwa na vingi. Nimejizoeza kuridhika katika kila hali na mahali; niwe nina cha kutosha au nina njaa; iwe nina ziada au nimepungukiwa.
Chunguza Wafilipi 4:12
10
Wafilipi 4:11
Sisemi hivyo sasa kwa sababu nahitaji kitu; maana nimejifunza kuridhika na vitu nilivyo navyo.
Chunguza Wafilipi 4:11
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video