1
1 Wathesalonike 4:17
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana.
Linganisha
Chunguza 1 Wathesalonike 4:17
2
1 Wathesalonike 4:16
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:16
3
1 Wathesalonike 4:3-4
Mungu anataka nyinyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa. Kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima
Chunguza 1 Wathesalonike 4:3-4
4
1 Wathesalonike 4:14
Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:14
5
1 Wathesalonike 4:11
Muwe na nia ya kuishi maisha ya utulivu, kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale awali.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:11
6
1 Wathesalonike 4:7
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
Chunguza 1 Wathesalonike 4:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video