1 Wathesalonike 4:16
1 Wathesalonike 4:16 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 41 Wathesalonike 4:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 41 Wathesalonike 4:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.
Shirikisha
Soma 1 Wathesalonike 4