1
1 Sam 10:6
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Roho ya Mwenyezi-Mungu itakujia kwa nguvu, nawe utaanza kutabiri pamoja nao na kugeuka kuwa mtu mwingine.
Linganisha
Chunguza 1 Sam 10:6
2
1 Sam 10:9
Shauli alipogeuka ili kumwacha Samueli, Mungu akabadili moyo wa Shauli. Yale yote aliyoambiwa na Samueli yakatokea siku hiyo.
Chunguza 1 Sam 10:9
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video