Logo YouVersion
Eicon Chwilio

Mathayo 20:3-4

Mathayo 20:3-4 BHN

Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi. Akawaambia, ‘Nendeni nanyi mkafanye kazi katika shamba la mizabibu, nami nitawapeni haki yenu.’