YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 24:7-8

Mathayo 24:7-8 BHN

Taifa moja litapigana na taifa lingine; ufalme mmoja utapigana na ufalme mwingine. Hapa na pale patakuwa na njaa na mitetemeko ya ardhi. Yote hayo ni kama mwanzo wa maumivu ya kujifungua mtoto.