YouVersion Logo
Search Icon

Waebrania 10:26-27

Waebrania 10:26-27 BHN

Maana, tukiendelea kutenda dhambi makusudi baada ya kufahamu ukweli, hakuna tambiko iwezayo kutolewa tena kwa ajili ya kuondoa dhambi. Linalobaki ni kungojea tu kwa hofu hukumu ya Mungu na moto mkali utakaowaangamiza wote wanaompinga.

Free Reading Plans and Devotionals related to Waebrania 10:26-27