Kumbukumbu la Sheria 8:7-9
Kumbukumbu la Sheria 8:7-9 BHN
Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu anawaleteni kwenye nchi nzuri, nchi yenye vijito na chemchemi, na maji yabubujikayo kutoka bondeni na milimani; nchi yenye ngano na shayiri, mizabibu, mitini, mikomamanga, mizeituni na asali. Huko mtapata chakula tele na hamtapungukiwa kitu. Miamba yake ina chuma, na kwenye milima yake mnaweza kuchimba shaba.



![[How Firm a Foundation] Creation Kumbukumbu la Sheria 8:7-9 Biblia Habari Njema](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapi.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans%2F53360%2F1440x810.jpg&w=3840&q=75)

