YouVersion Logo
Search Icon

1 Timotheo 6:18-19

1 Timotheo 6:18-19 BHN

Waamuru watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, na wawe wakarimu na walio tayari kuwashirikisha wengine mali zao. Kwa namna hiyo watajiwekea hazina ambayo itakuwa kwao msingi imara kwa wakati ujao. Hapo wataweza kujipatia uhai ambao ni uhai wa kweli.

Free Reading Plans and Devotionals related to 1 Timotheo 6:18-19