YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 19:4-5

Mathayo 19:4-5 NENO

Akawajibu, “Je, hamkusoma kwamba hapo mwanzo Muumba aliwaumba mwanaume na mwanamke, naye akasema, ‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja’?

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 19:4-5