YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 15:18-19

Mathayo 15:18-19 NENO

Lakini kitokacho kinywani hutoka moyoni, na hiki ndicho kimtiacho mtu unajisi. Kwa maana ndani ya moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushahidi wa uongo na masingizio.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 15:18-19