YouVersion Logo
Search Icon

Mathayo 10:32-33

Mathayo 10:32-33 BHND

“Kila mtu anayekiri hadharani kwamba yeye ni wangu, mimi pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.

Free Reading Plans and Devotionals related to Mathayo 10:32-33