YouVersion Logo
Search Icon

Ezekieli 37:4-5

Ezekieli 37:4-5 BHND

Naye akaniambia, “Toa unabii juu ya mifupa hii. Iambie hivi: Enyi mifupa mikavu, sikilizeni neno la Mwenyezi-Mungu. Bwana Mwenyezi-Mungu awaambia hivi: Nitaifanya pumzi iwaingie, nanyi mtaishi.

Free Reading Plans and Devotionals related to Ezekieli 37:4-5